2 Samweli 17 : 2 2nd Samuel chapter 17 verse 2

Swahili English Translation

2 Samweli 17:2

nami nitamshambulia wakati atakaokuwa amechoka, na mikono yake imekuwa dhaifu, nami nitamtia hofu; na watu wote walio pamoja naye watakimbia; nami nitampiga mfalme peke yake;
soma Mlango wa 17

2nd Samuel 17:2

and I will come on him while he is weary and weak-handed, and will make him afraid; and all the people who are with him shall flee; and I will strike the king only;