2 Wafalme 5 : 11 2nd Kings chapter 5 verse 11

Swahili English Translation

2 Wafalme 5:11

Lakini Naamani akakasirika, akaondoka, akasema, Tazama, nalidhania, Bila shaka atatoka kwangu, na kusimama, na kuomba kwa jina la Bwana, Mungu wake, na kupitisha mkono wake mahali penye ugonjwa, na kuniponya mimi mwenye ukoma.
soma Mlango wa 5

2nd Kings 5:11

But Naaman was angry, and went away, and said, Behold, I thought, He will surely come out to me, and stand, and call on the name of Yahweh his God, and wave his hand over the place, and recover the leper.