2 Wafalme 2 : 19 2nd Kings chapter 2 verse 19

Swahili English Translation

2 Wafalme 2:19

Watu wa mjini wakamwambia Elisha, Angalia, twakusihi, mahali pa mji huu ni pazuri, kama bwana wangu aonavyo; lakini maji yake hayafai, na nchi huzaa mapooza.
soma Mlango wa 2

2nd Kings 2:19

The men of the city said to Elisha, Behold, we pray you, the situation of this city is pleasant, as my lord sees: but the water is bad, and the land miscarries.