2 Wafalme 13 : 11 2nd Kings chapter 13 verse 11

Swahili English Translation

2 Wafalme 13:11

Akafanya yaliyo maovu machoni pa Bwana; hakuyaacha makosa ya Yeroboamu mwana wa Nebati, ambayo kwa hayo aliwakosesha Israeli; lakini akaendelea katika hayo.
soma Mlango wa 13

2nd Kings 13:11

He did that which was evil in the sight of Yahweh; he didn't depart from all the sins of Jeroboam the son of Nebat, with which he made Israel to sin; but he walked therein.