2 Wafalme 13 : 1 2nd Kings chapter 13 verse 1

Swahili English Translation

2 Wafalme 13:1

Katika mwaka wa ishirini na tatu wa Yoashi mwana wa Ahazia, mfalme wa Yuda, Yehoahazi mwana wa Yehu alianza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; akatawala miaka kumi na saba.
soma Mlango wa 13

2nd Kings 13:1

In the three and twentieth year of Joash the son of Ahaziah, king of Judah, Jehoahaz the son of Jehu began to reign over Israel in Samaria, [and reigned] seventeen years.