2 Wafalme 10 : 10 2nd Kings chapter 10 verse 10

Swahili English Translation

2 Wafalme 10:10

Jueni basi ya kwamba halianguki chini lo lote la neno la Bwana, alilolinena Bwana juu ya nyumba ya Ahabu; kwa maana Bwana ameyafanya hayo aliyoyanena kwa kinywa cha mtumishi wake Eliya.
soma Mlango wa 10

2nd Kings 10:10

Know now that there shall fall to the earth nothing of the word of Yahweh, which Yahweh spoke concerning the house of Ahab: for Yahweh has done that which he spoke by his servant Elijah.