2 Wakorintho 13 : 4 2nd Corinthians chapter 13 verse 4

Swahili English Translation

2 Wakorintho 13:4

Maana, alisulibiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika yeye; lakini tutaishi pamoja naye kwa uweza wa Mungu ulio kwenu.
soma Mlango wa 13

2nd Corinthians 13:4

For he was crucified through weakness, yet he lives through the power of God. For we also are weak in him, but we will live with him through the power of God toward you.