2 Mambo ya Nyakati 35 : 12 2nd Chronicles chapter 35 verse 12

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 35:12

Wakaziondoa sadaka za kuteketezwa, wawape wana wa watu, kama walivyogawanyika kufuata nyumba za mababa, ili wamtolee Bwana, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Musa. Nao ng'ombe wakawafanya vivyo hivyo.
soma Mlango wa 35

2nd Chronicles 35:12

They removed the burnt offerings, that they might give them according to the divisions of the fathers' houses of the children of the people, to offer to Yahweh, as it is written in the book of Moses. So did they with the oxen.