2 Mambo ya Nyakati 34 : 10 2nd Chronicles chapter 34 verse 10
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Mambo ya Nyakati 34:10
Wakaitia mikononi mwa watenda kazi walioisimamia nyumba ya Bwana; na hao mafundi waliotenda kazi nyumbani mwa Bwana wakaitoa kwa kuitengeneza na kuifanya upya nyumba;
|
2nd Chronicles 34:10They delivered it into the hand of the workmen who had the oversight of the house of Yahweh; and the workmen who labored in the house of Yahweh gave it to mend and repair the house; |