1 Timotheo 6 : 4 1st Timothy chapter 6 verse 4

Swahili English Translation

1 Timotheo 6:4

amejivuna; wala hafahamu neno lo lote; bali ana wazimu wa kuwazia habari za maswali, na mashindano ya maneno, ambayo katika hayo hutoka husuda, na ugomvi, na matukano, na shuku mbaya;
soma Mlango wa 6

1st Timothy 6:4

he is conceited, knowing nothing, but obsessed with arguments, disputes, and word battles, from which come envy, strife, reviling, evil suspicions,