1 Timotheo 6 : 16 1st Timothy chapter 6 verse 16

Swahili English Translation

1 Timotheo 6:16

ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina.
soma Mlango wa 6

1st Timothy 6:16

who alone has immortality, dwelling in unapproachable light; whom no man has seen, nor can see: to whom be honor and eternal power. Amen.