1 Samweli 29 : 4 1st Samuel chapter 29 verse 4

Swahili English Translation

1 Samweli 29:4

Lakini wakuu wa Wafilisti wakamkasirikia; nao wakuu wa Wafilisti wakamwambia, Mrudishe huyu, apate kurejea mahali pake ulipomwagiza, wala asiende pamoja nasi vitani, asije akawa adui wetu vitani; kwani mtu huyu angejipatanisha na bwana wake kwa njia gani? Je! Si kwa vichwa vya watu hawa?
soma Mlango wa 29

1st Samuel 29:4

But the princes of the Philistines were angry with him; and the princes of the Philistines said to him, Make the man return, that he may go back to his place where you have appointed him, and let him not go down with us to battle, lest in the battle he become an adversary to us: for with what should this [fellow] reconcile himself to his lord? should it not be with the heads of these men?