1 Samweli 25 : 36 1st Samuel chapter 25 verse 36

Swahili English Translation

1 Samweli 25:36

Kisha Abigaili alimjia Nabali; na tazama, alikuwa amefanya karamu nyumbani mwake, kama karamu ya kifalme; na moyo wake huyo Nabali ukafurahiwa ndani yake, kwa maana amelewa kabisa. Kwa sababu hiyo hakumwambia neno, dogo wala kubwa, hata kulipopambazuka.
soma Mlango wa 25

1st Samuel 25:36

Abigail came to Nabal; and, behold, he held a feast in his house, like the feast of a king; and Nabal's heart was merry within him, for he was very drunken: therefore she told him nothing, less or more, until the morning light.