1 Samweli 25 : 29 1st Samuel chapter 25 verse 29

Swahili English Translation

1 Samweli 25:29

Na hata ijapokuwa binadamu angeinuka akuwinde, na kuitafuta nafsi yako, hiyo nafsi ya bwana wangu itafungwa katika furushi ya uhai pamoja na Bwana, Mungu wako; na nafsi za adui zako ndizo atakazozitupa nje, kama kutoka kati ya teo.
soma Mlango wa 25

1st Samuel 25:29

Though men be risen up to pursue you, and to seek your soul, yet the soul of my lord shall be bound in the bundle of life with Yahweh your God; and the souls of your enemies, them shall he sling out, as from the hollow of a sling.