1 Samweli 25 : 25 1st Samuel chapter 25 verse 25

Swahili English Translation

1 Samweli 25:25

Nakusihi, bwana wangu, wewe usimwangalie huyu mtu asiyefaa, yaani, Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao; lakini mimi, mjakazi wako, sikuwaona hao vijana wa bwana wangu aliowatuma.
soma Mlango wa 25

1st Samuel 25:25

Please don't let my lord regard this worthless fellow, even Nabal; for as his name is, so is he; Nabal is his name, and folly is with him: but I your handmaid didn't see the young men of my lord, whom you did send.