1 Samweli 20 : 42 1st Samuel chapter 20 verse 42

Swahili English Translation

1 Samweli 20:42

Naye Yonathani akamwambia Daudi, Enenda kwa amani; kwa maana sisi sote wawili tumeapiana kwa jina la Bwana ya kwamba, Bwana atakuwa kati ya mimi na wewe, na kati ya uzao wangu na uzao wako milele. Daudi akaondoka, akaenda zake; Yonathani naye akaenda zake mjini.
soma Mlango wa 20

1st Samuel 20:42

Jonathan said to David, Go in peace, because we have sworn both of us in the name of Yahweh, saying, Yahweh shall be between me and you, and between my seed and your seed, forever. He arose and departed: and Jonathan went into the city.