1 Samweli 20 : 13 1st Samuel chapter 20 verse 13

Swahili English Translation

1 Samweli 20:13

Bwana anitende mimi, Yonathani, hivyo, na kuzidi, ikiwa yampendeza babangu kukutenda mabaya, nisipokufunulia haya, na kukupeleka uende zako kwa amani; na Bwana awe pamoja nawe, kama alivyokuwa pamoja na baba yangu.
soma Mlango wa 20

1st Samuel 20:13

Yahweh do so to Jonathan, and more also, should it please my father to do you evil, if I don't disclose it to you, and send you away, that you may go in peace: and Yahweh be with you, as he has been with my father.