1 Samweli 17 : 40 1st Samuel chapter 17 verse 40

Swahili English Translation

1 Samweli 17:40

Akaichukua fimbo yake mkononi, akajichagulia mawe laini matano katika kijito cha maji, akayatia katika mfuko wa kichungaji aliokuwa nao, maana ni mkoba wake, na kombeo lake alikuwa nalo mkononi mwake, akamkaribia yule Mfilisti.
soma Mlango wa 17

1st Samuel 17:40

He took his staff in his hand, and chose him five smooth stones out of the brook, and put them in the shepherd's bag which he had, even in his wallet; and his sling was in his hand: and he drew near to the Philistine.