1 Samweli 1 : 20 1st Samuel chapter 1 verse 20

Swahili English Translation

1 Samweli 1:20

Ikawa, wakati ulipowadia, Hana akachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; akamwita jina lake Samweli, akisema, Kwa kuwa nimemwomba kwa Bwana.
soma Mlango wa 1

1st Samuel 1:20

It happened, when the time was come about, that Hannah conceived, and bore a son; and she named him Samuel, [saying], Because I have asked him of Yahweh.