1 Wafalme 8 : 65 1st Kings chapter 8 verse 65

Swahili English Translation

1 Wafalme 8:65

Basi, wakati ule Sulemani akafanya sikukuu, na Israeli wote pamoja naye, kusanyiko kubwa sana, kutoka maingilio ya Hamathi mpaka kijito cha Misri, mbele za Bwana, Mungu wetu, siku saba na siku saba, yaani siku kumi na nne.
soma Mlango wa 8

1st Kings 8:65

So Solomon held the feast at that time, and all Israel with him, a great assembly, from the entrance of Hamath to the brook of Egypt, before Yahweh our God, seven days and seven days, even fourteen days.