1 Wafalme 8 : 11 1st Kings chapter 8 verse 11
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Wafalme 8:11
hata makuhani hawakuweza kusimama ili kufanya huduma yao, kwa sababu ya wingu lile; kwa kuwa nyumba ya Bwana ilikuwa imejaa utukufu wa Bwana.
|
1st Kings 8:11so that the priests could not stand to minister by reason of the cloud; for the glory of Yahweh filled the house of Yahweh. |