1 Wafalme 21 : 8 1st Kings chapter 21 verse 8
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Wafalme 21:8
Basi, akaandika nyaraka kwa jina la Ahabu, akazitia muhuri yake, akazipeleka zile nyaraka kwa wazee, na kwa watu wenye nguvu waliokuwa katika mji wake, waliokaa pamoja na Nabothi.
|
1st Kings 21:8So she wrote letters in Ahab's name, and sealed them with his seal, and sent the letters to the elders and to the nobles who were in his city, [and] who lived with Naboth. |