1 Wafalme 14 : 31 1st Kings chapter 14 verse 31

Swahili English Translation

1 Wafalme 14:31

Rehoboamu akalala na babaze, akazikwa pamoja na babaze mjini mwa Daudi. Na jina la mamaye aliitwa Naama, Mwamoni. Na mwanawe, Abiya, alitawala mahali pake.
soma Mlango wa 14

1st Kings 14:31

Rehoboam slept with his fathers, and was buried with his fathers in the city of David: and his mother's name was Naamah the Ammonitess. Abijam his son reigned in his place.