1 Wafalme 14 : 31 1st Kings chapter 14 verse 31
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Wafalme 14:31
Rehoboamu akalala na babaze, akazikwa pamoja na babaze mjini mwa Daudi. Na jina la mamaye aliitwa Naama, Mwamoni. Na mwanawe, Abiya, alitawala mahali pake.
|
1st Kings 14:31Rehoboam slept with his fathers, and was buried with his fathers in the city of David: and his mother's name was Naamah the Ammonitess. Abijam his son reigned in his place. |