1 Wafalme 13 : 31 1st Kings chapter 13 verse 31

Swahili English Translation

1 Wafalme 13:31

Hata ikawa, alipokwisha kumzika, akawaambia wanawe, akasema, Nikifa mimi, nizikeni katika kaburi hili alimozikwa yule mtu wa Mungu; iwekeni mifupa yangu kando ya mifupa yake.
soma Mlango wa 13

1st Kings 13:31

It happened, after he had buried him, that he spoke to his sons, saying, When I am dead, then bury me in the tomb in which the man of God is buried; lay my bones beside his bones.