1 Mambo ya Nyakati 20 : 5 1st Chronicles chapter 20 verse 5

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 20:5

Kulikuwa na vita tena na Wafilisti; na Elhanani, mwana wa Yairi akamwua Lahmi nduguye Goliathi, Mgiti ,ambaye mti wa mkuki wake ulikuwa kama mti wa mfumaji.
soma Mlango wa 20

1st Chronicles 20:5

There was again war with the Philistines; and Elhanan the son of Jair killed Lahmi the brother of Goliath the Gittite, the staff of whose spear was like a weaver's beam.