1 Mambo ya Nyakati 18 : 10 1st Chronicles chapter 18 verse 10

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 18:10

akampeleka mwanawe Hadoramu kwa mfalme Daudi, ili kumsalimia, na kumbarikia, kwa sababu alikuwa amepigana na Hadadezeri, na kumpiga; kwa maana Hadadezeri alikuwa amepigana vita juu ya Tou; naye akaleta vyombo vya dhahabu, na fedha, na shaba, vya namna zote.
soma Mlango wa 18

1st Chronicles 18:10

he sent Hadoram his son to king David, to Greet him, and to bless him, because he had fought against Hadarezer and struck him; (for Hadarezer had wars with Tou;) and [he had with him] all manner of vessels of gold and silver and brass.