Zekaria 9 : 7 Zechariah chapter 9 verse 7
Swahili | English Translation |
---|---|
Zekaria 9:7
Nami nitaondoa damu yake kinywani mwake, na machukizo yake nitayatoa katika meno yake; yeye naye atakuwa ni mabaki kwa Mungu wetu; naye atakuwa kama mtu mkuu katika Yuda, na Ekroni kama Myebusi.
|
Zechariah 9:7I will take away his blood out of his mouth, And his abominations from between his teeth; And he also will be a remnant for our God; And he will be as a chieftain in Judah, And Ekron as a Jebusite. |