Zekaria 14 : 21 Zechariah chapter 14 verse 21

Swahili English Translation

Zekaria 14:21

Naam, kila chombo katika Yerusalemu, na katika Yuda, kitakuwa kitakatifu kwa Bwana wa majeshi; nao wote watoao dhabihu watakuja kuvitwaa vile vyombo, na kutokosa nyama ndani yake; wala siku hiyo hatakuwamo tena mfanya biashara ndani ya nyumba ya Bwana wa majeshi.</p>
soma Mlango wa 14

Zechariah 14:21

Yes, every pot in Jerusalem and in Judah will be holy to Yahweh of Hosts; and all those who sacrifice will come and take of them, and cook in them. In that day there will no longer be a Canaanite in the house of Yahweh of Hosts.