Warumi 2 : 25 Romans chapter 2 verse 25

Swahili English Translation

Warumi 2:25

Kwa maana kutahiriwa kwafaa kama ukiwa mtendaji wa sheria, lakini ukiwa mvunjaji wa sheria kutahiriwa kwako kumekuwa kutokutahiriwa.
soma Mlango wa 2

Romans 2:25

For circumcision indeed profits, if you are a doer of the law, but if you are a transgressor of the law, your circumcision has become uncircumcision.