Hesabu 9 : 13 Numbers chapter 9 verse 13

Swahili English Translation

Hesabu 9:13

Lakini mtu aliye safi, wala hakuwa katika safari, naye amekosa kuishika Pasaka, mtu huyo atakatiliwa mbali na watu wake; kwa sababu hakumtolea Bwana matoleo kwa wakati wake ulioamriwa, mtu huyo atachukua dhambi yake.
soma Mlango wa 9

Numbers 9:13

But the man who is clean, and is not on a journey, and fails to keep the Passover, that soul shall be cut off from his people. Because he didn't offer the offering of Yahweh in its appointed season, that man shall bear his sin.