Mika 5 : 8 Micah chapter 5 verse 8

Swahili English Translation

Mika 5:8

Na hayo mabaki ya Yakobo yatakuwa kati ya mataifa, kati ya kabila nyingi, mfano wa simba kati ya wanyama wa msituni, kama mwana-simba kati ya makundi ya kondoo, ambaye, akiwa anapita katikati, hukanyaga-kanyaga na kurarua-rarua, wala hakuna wa kuokoa.
soma Mlango wa 5

Micah 5:8

The remnant of Jacob will be among the nations, In the midst of many peoples, Like a lion among the animals of the forest, Like a young lion among the flocks of sheep; Who, if he goes through, treads down and tears in pieces, And there is no one to deliver.