Malaki 2 : 6 Malachi chapter 2 verse 6
Swahili | English Translation |
---|---|
Malaki 2:6
Sheria ya kweli ilikuwa kinywani mwake, wala udhalimu haukuonekana midomoni mwake; alikwenda pamoja nami katika amani na unyofu, na kuwageuza wengi hata wakaacha uovu.
|
Malachi 2:6The law of truth was in his mouth, and unrighteousness was not found in his lips. He walked with me in peace and uprightness, and turned many away from iniquity. |