Malaki 2 : 13 Malachi chapter 2 verse 13
Swahili | English Translation |
---|---|
Malaki 2:13
Tena mnatenda haya nayo; mnaifunikiza madhabahu ya Bwana kwa machozi, kwa kulia na kwa kuugua, hata asiiangalie tena hiyo dhabihu, wala kuitakabali mikononi mwenu na kuiridhia.
|
Malachi 2:13This again you do: you cover the altar of Yahweh with tears, with weeping, and with sighing, because he doesn't regard the offering any more, neither receives it with good will at your hand. |