Luka 18 : 32 Luke chapter 18 verse 32

Swahili English Translation

Luka 18:32

Kwa kuwa atatiwa mikononi mwa Mataifa, atafanyiwa dhihaka; atatendwa jeuri, na kutemewa mate;
soma Mlango wa 18

Luke 18:32

For he will be delivered up to the Gentiles, will be mocked, treated shamefully, and spit on.