Mambo ya Walawi 26 : 46 Leviticus chapter 26 verse 46
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 26:46
Hizi ni amri na hukumu na sheria, Bwana alizozifanya kati ya yeye na hao wana wa Israeli katika huo mlima wa Sinai kwa mkono wa Musa.
|
Leviticus 26:46These are the statutes, ordinances and laws, which Yahweh made between him and the children of Israel in Mount Sinai by Moses. |