Mambo ya Walawi 23 : 13 Leviticus chapter 23 verse 13
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 23:13
Na sadaka yake ya unga itakuwa sehemu za kumi mbili za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, ni kafara iliyosongezwa kwa Bwana kwa moto kuwa harufu ya kupendeza; na sadaka yake ya kinywaji itakuwa ni divai, robo ya hini.
|
Leviticus 23:13The meal offering with it shall be two tenth parts of an ephah of fine flour mingled with oil, an offering made by fire to Yahweh for a sweet savor; and the drink offering with it shall be of wine, the fourth part of a hin. |