Mambo ya Walawi 13 : 28 Leviticus chapter 13 verse 28
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 13:28
Na kama hicho kipaku kikishangaa pale pale, wala hakikuenea katika ngozi, lakini kimefifia; ni kufura kwake pale penye moto, na kuhani atasema kwamba yu safi; kwa kuwa ni kovu la kuwasha hili.
|
Leviticus 13:28If the bright spot stays in its place, and hasn't spread in the skin, but is faded, it is the swelling from the burn, and the priest shall pronounce him clean; for it is the scar from the burn. |