Waamuzi 9 : 48 Judges chapter 9 verse 48

Swahili English Translation

Waamuzi 9:48

Basi Abimeleki akakwea kwenda kilima cha Salmoni, yeye na wote waliokuwa pamoja naye; naye Abimeleki akashika shoka mkononi mwake, akakata tawi moja katika miti, akalishika na kujitweka fuzini mwake; akawaambia hao watu waliokuwa pamoja naye, Haya, mliyoniona mimi kufanya, fanyeni upesi vivyo, kama nilivyofanya mimi.
soma Mlango wa 9

Judges 9:48

Abimelech got him up to Mount Zalmon, he and all the people who were with him; and Abimelech took an axe in his hand, and cut down a bough from the trees, and took it up, and laid it on his shoulder: and he said to the people who were with him, What you have seen me do, make haste, and do as I have done.