Waamuzi 4 : 2 Judges chapter 4 verse 2

Swahili English Translation

Waamuzi 4:2

Bwana akawauza na kuwatia katika mkono wa Yabini, mfalme wa Kanaani, aliyetawala huko Hazori; na Sisera, aliyekaa katika Haroshethi wa Mataifa, alikuwa amiri wa jeshi lake.
soma Mlango wa 4

Judges 4:2

Yahweh sold them into the hand of Jabin king of Canaan, who reigned in Hazor; the captain of whose host was Sisera, who lived in Harosheth of the Gentiles.