Waamuzi 2 : 12 Judges chapter 2 verse 12

Swahili English Translation

Waamuzi 2:12

Wakamwacha Bwana, Mungu wa baba zao, aliyewaleta kutoka katika nchi ya Misri, wakafuata miungu mingine, baadhi ya miungu ya watu wale waliokaa karibu nao pande zote, wakajiinamisha mbele yao; wakamkasirisha Bwana, akaghadhibika.
soma Mlango wa 2

Judges 2:12

and they forsook Yahweh, the God of their fathers, who brought them out of the land of Egypt, and followed other gods, of the gods of the peoples who were round about them, and bowed themselves down to them: and they provoked Yahweh to anger.