Yoshua 19 : 51 Joshua chapter 19 verse 51

Swahili English Translation

Yoshua 19:51

Hizi ndizo nchi, ambazo Eleazari kuhani, na Yoshua huyo mwana wa Nuni, pamoja na hao vichwa vya nyumba za mababa ya kabila za wana wa Israeli, walizigawanya kwa njia ya kupiga kura, ziwe urithi, huko Shilo mbele ya Bwana, hapo mlangoni mwa hema ya kukutania. Basi hivyo wakamaliza kazi ya kuigawanya hiyo nchi.
soma Mlango wa 19

Joshua 19:51

These are the inheritances, which Eleazar the priest, and Joshua the son of Nun, and the heads of the fathers' [houses] of the tribes of the children of Israel, distributed for inheritance by lot in Shiloh before Yahweh, at the door of the tent of meeting. So they made an end of dividing the land.