Yoshua 19 : 33 Joshua chapter 19 verse 33

Swahili English Translation

Yoshua 19:33

Na mpaka wao ulikuwa kutoka Helefu, tokea ule mwaloni ulio katika Saananimu, na Adami-nekebu, na Yabineeli, hata kufikilia Lakumu; na matokeo yake yalikuwa katika mto wa Yordani;
soma Mlango wa 19

Joshua 19:33

Their border was from Heleph, from the oak in Zaanannim, and Adaminekeb, and Jabneel, to Lakkum; and the goings out of it were at the Jordan;