Yohana 6 : 65 John chapter 6 verse 65

Swahili English Translation

Yohana 6:65

Akasema, Kwa sababu hiyo nimewaambia ya kwamba hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amejaliwa na Baba yangu.
soma Mlango wa 6

John 6:65

He said, "For this cause have I said to you that no one can come to me, unless it is given to him by my Father."