Yeremia 6 : 21 Jeremiah chapter 6 verse 21

Swahili English Translation

Yeremia 6:21

Basi, kwa hiyo, Bwana asema hivi, Tazama, nitaweka makwazo mbele ya watu hawa, na baba na wana wao watajikwaa pamoja; jirani ya mtu na rafiki yake watapotea.
soma Mlango wa 6

Jeremiah 6:21

Therefore thus says Yahweh, Behold, I will lay stumbling-blocks before this people; and the fathers and the sons together shall stumble against them; the neighbor and his friend shall perish.