Yeremia 6 : 16 Jeremiah chapter 6 verse 16

Swahili English Translation

Yeremia 6:16

Bwana asema hivi, Simameni katika njia kuu, mkaone, mkaulize habari za mapito ya zamani, I wapi njia iliyo njema? Mkaende katika njia hiyo, nanyi mtajipatia raha katika nafsi zenu. Lakini walisema, Hatutaki kwenda katika njia hiyo.
soma Mlango wa 6

Jeremiah 6:16

Thus says Yahweh, Stand you in the ways and see, and ask for the old paths, where is the good way; and walk therein, and you shall find rest for your souls: but they said, We will not walk [therein].