Yeremia 36 : 12 Jeremiah chapter 36 verse 12

Swahili English Translation

Yeremia 36:12

akashuka, akaingia katika nyumba ya mfalme, katika chumba cha mwandishi, na, tazama, wakuu wote wameketi humo, nao ni hawa, Elishama, mwandishi, na Delaya, mwana wa Shemaya, na Elnathani, mwana wa Akbori, na Gemaria, mwana wa Shafani, na Sedekia, mwana wa Hanania, na wakuu wote.
soma Mlango wa 36

Jeremiah 36:12

he went down into the king's house, into the scribe's chamber: and, behold, all the princes were sitting there, [to wit], Elishama the scribe, and Delaiah the son of Shemaiah, and Elnathan the son of Achbor, and Gemariah the son of Shaphan, and Zedekiah the son of Hananiah, and all the princes.