Yeremia 36 : 10 Jeremiah chapter 36 verse 10
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 36:10
Basi, wakati huo Baruku akayasoma maneno ya Yeremia katika nyumba ya Bwana, katika chumba cha Gemaria, mwana wa Shafani, mwandishi, katika ua wa juu, mahali pa kuingilia kwa lango jipya la nyumba ya Bwana, akiyasoma katika masikio ya watu wote.
|
Jeremiah 36:10Then read Baruch in the book the words of Jeremiah in the house of Yahweh, in the chamber of Gemariah the son of Shaphan, the scribe, in the upper court, at the entry of the new gate of Yahweh's house, in the ears of all the people. |