Yeremia 32 : 36 Jeremiah chapter 32 verse 36

Swahili English Translation

Yeremia 32:36

Basi sasa, Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi, katika habari za mji huu, ambao ninyi mnasema juu yake maneno haya, Umetiwa katika mikono ya mfalme wa Babeli, kwa upanga, na kwa njaa, na kwa tauni;
soma Mlango wa 32

Jeremiah 32:36

Now therefore thus says Yahweh, the God of Israel, concerning this city, about which you say, It is given into the hand of the king of Babylon by the sword, and by the famine, and by the pestilence: