Yeremia 32 : 1 Jeremiah chapter 32 verse 1
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 32:1
Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa Bwana, katika mwaka wa kumi wa Sedekia, mfalme wa Yuda, nao ulikuwa mwaka wa kumi na nane wa Nebukadreza.
|
Jeremiah 32:1The word that came to Jeremiah from Yahweh in the tenth year of Zedekiah king of Judah, which was the eighteenth year of Nebuchadrezzar. |