Yeremia 32 : 1 Jeremiah chapter 32 verse 1

Swahili English Translation

Yeremia 32:1

Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa Bwana, katika mwaka wa kumi wa Sedekia, mfalme wa Yuda, nao ulikuwa mwaka wa kumi na nane wa Nebukadreza.
soma Mlango wa 32

Jeremiah 32:1

The word that came to Jeremiah from Yahweh in the tenth year of Zedekiah king of Judah, which was the eighteenth year of Nebuchadrezzar.