Yeremia 27 : 12 Jeremiah chapter 27 verse 12

Swahili English Translation

Yeremia 27:12

Nikamwambia Sedekia, mfalme wa Yuda, kwa mfano wa maneno hayo yote, nikisema, Tieni shingo zenu katika nira ya mfalme wa Babeli, mkamtumikie yeye na watu wake, mpate kuishi.
soma Mlango wa 27

Jeremiah 27:12

I spoke to Zedekiah king of Judah according to all these words, saying, Bring your necks under the yoke of the king of Babylon, and serve him and his people, and live.